Согла́сие
1) (единодушие, взаимопонимание) agano (ma-), itifaki (-), mkubaliano (mi-), makubaliano мн., mkabala (mi-), moyo mmoja (mioyo), mwafaka (mi-), patanisho (ma-), patano (ma-), tangamano (ma-), changamano (ma-), masikilizano мн.;
быть в согла́сии — -kubaliana
2) (одобрение, разрешение) kabuli (-), kibali (vi-), ukubali (kubali; ma-), ridhaa (-), ridhia (-), uradhi ед., idhini (-), kiva ед. (редко)