Затрудне́ние
1) (проблема) balaa (-; ma-), chokochoko (-), harubu (-), kayaya (-), mashaka мн., maudhi мн., mfundo (mi-), mgogoro (mi-), mushkili (mi-), nongwa (-), shaka (ma-; -), shakawa (-), shida (-), taabu (-), takalifu (-), tata (ma-),
thakili (-), tatizo (ma-), ugumu ед., utatanishi (ma-), kondo (-), kombo (-; ma-) (редко), mpweke (mi-) перен.;
испы́тывать затрудне́ния — -taabika, -tatana, -kwama перен., -lingwa разг.
2) (препятствие) chelezo (ma-), kikwamo (vi-), kikwazo (vi-), kinzano (ma-), kitata (vi-), sumbuko (ma-), kipingamizi (vi-), tataniko (ma-), tatizo (ma-), upinzani eд.
3) (нужда) dhiki (ma-), shida (-)
4) (замешательство) hangaiko (ma-), mhangaiko (mi-), zahama (-)